Hofu

Author:   E a Musiba
Publisher:   Mkuki na Nyota Publishers
Edition:   2nd ed.
ISBN:  

9789987083275


Pages:   162
Publication Date:   07 September 2018
Format:   Paperback
Availability:   In stock   Availability explained
We have confirmation that this item is in stock with the supplier. It will be ordered in for you and dispatched immediately.

Our Price $33.64 Quantity:  
Add to Cart

Share |

Hofu


Add your own review!

Overview

Mauaji ya kikatili yanafanyika karibu na mji wa Uitenhage nchini Afrika Kusini siku ya kuwakumbuka wazalendo, waliouawa mjini Sharpeville mwaka 1960. Makaburu wanajawa na hofu kwa mauaji hayo, na wanawatilia shaka kuwa ni njama za kikundi cha watu weusi za kutaka kupindua mfumo wa Serikali yao ya Ubaguzi wa Rangi. Uongozi wa Makaburu wa Afrika Kusini wakiongozwa na Mkurugenzi wa Shirika la Ujajusi, Kamanda wa Jeshi la Kulfut na Mkuu wa Magaidi, wasaliti wa UNITA, wanakutana ili kukabili juhudi za ukombozi wa Afrika Kusini kuwa wimbi la mauaji. Wanapanga pia, mikakati ya kuzizorotesha kisiasa na kiuchumi nchi zilizo mstari wa mbele kupinga uongozi wao na kuzifanya ziogope na kuacha kuwasaidia Wapigania Ukombozi. Mkutano wa Wapigania Uhuru wa Afrika Kusini unafanyika Arusha, nchini Tanzania. Jambo hili linawatia hofu Makaburu, hivyo basi, mikakati kabambe inafanywa na Serikali yao ili kuusambaratisha mkutano huo. Umoja wa Wapigania Uhuru nao unaandaa kikundi makini kabisa ili kupambana na Makaburu hao na kuulinda mkutano wao. Mpelelezi nguli wa Afrika, Willy Gamba, hakosi panapokuwa na mapambano kati ya upande wenye haki, upande wa umma na ule wa dhuluma. Kwa kushirikiana na wapelelezi mahiri kutoka nchi za Kusini mwa Afrika kwa kutumia medani za kivita, mateke, ngumi, kung fu achilia mbali bastola, visu na silaha nyingine wanapambana dhidi ya Makaburu hao na vikundi mbalimbali vya kigaidi vilivyoshirikiana nao. Hekaheka zinatokea Arusha, Makaburu wanakipata cha moto. Mwindaji awa mwindwaji...fuatilia. The four books in this series of detective novels, written in Swahili, were authored by the late Aristablus Elvis Musiba. The novels follow the exploits of Willy Gamba, an elite special operations Tanzanian intelligence officer. Set in various locations in Africa Willy is dispatched to neutralise agents within the Apartheid Regime as well as saboteurs, who are out to destroy those involved with the liberation struggles being waged in Southern Africa.

Full Product Details

Author:   E a Musiba
Publisher:   Mkuki na Nyota Publishers
Imprint:   Mkuki na Nyota Publishers
Edition:   2nd ed.
Dimensions:   Width: 12.90cm , Height: 1.00cm , Length: 19.80cm
Weight:   0.150kg
ISBN:  

9789987083275


ISBN 10:   9987083277
Pages:   162
Publication Date:   07 September 2018
Audience:   General/trade ,  General
Format:   Paperback
Publisher's Status:   Active
Availability:   In stock   Availability explained
We have confirmation that this item is in stock with the supplier. It will be ordered in for you and dispatched immediately.
Language:   Swahili

Table of Contents

Reviews

Author Information

Tab Content 6

Author Website:  

Customer Reviews

Recent Reviews

No review item found!

Add your own review!

Countries Available

All regions
Latest Reading Guide

Aorrng

Shopping Cart
Your cart is empty
Shopping cart
Mailing List